TUNZA UKE NA KUJIEPUKANA NA UGONJWA WA FANGASI



     Usafi wa uke ndio ubora kwa mwanamke na ndo kiungo muhimu cha kufanya mahusiano ya ndoa na mwenza wako kuwa yenye furaha au familia kutokuzaraulika au kuzalauliwa na mume wako katika mahusiano yenu,
 Uke wenye afya afya huwa siyo mkavu muda wote, una ute usiokuwa na rangi (kama maji),mwepesi na unaonata, uzito,pia na mnato huu hutegemeana na mabadiliko ya mwili wa mwanamke.
Uke wenye afya unaharufu ambayo ni nzuri murua isiyo kera kama harufu itakuwa kali na inayokera (kama yai bovu) basi uke wako hauko kwenye afya njema
·         Hii ni sehemu nyeti kwa mwanamke zinahitajika ziheshimiwe kuanzia kwenye tendo la ndoa pale anapokutana na mwenzi wake na hutakiwi akudharau mtu, kuna baadhi ya wanaume wanatabia anapokuwa yuko kwenye tendo anatemea mate kwenye uke huko kwa ujumla hapo ni kudharauliwa kwa mwanamke tafadhiri yake ni kwamba siyo sehemu nzuri ndo maana anatema huko ni kumshusha kiwango cha ubora wake, kisa kuna ukavu ndo akutemee mate hiyo ni sehemu ambayo haihitaji kutemewa mate, kwanza ni kwa nini akutemee mate na wewe mwanake bila kujua unaongezea mate ya kwako hiyo inaonyesha kuwa na wewe mwenyewe unajidharau.maana ni moja ya utuzaji wa ubora wa uke wako ndo maana kwa kutokuwa na utuzaji mzuri mwanamke anakuwa ni kirahisi kupata maradhi kwenye sehemu zake za siri kama vile,fangasi sugu,U.T.I sugu,kuwa na harufu mbaya ukeni kuota mapele sehemu za siri,na kukosa ufinyu wa uke na kuonekana umelegea wakati unapanswa iwe taiti isipokuwa siku ya kujifungua tu.
         Leo nizungumzie juu ya changaamoto kubwa inayowasumbua wanawake ya kuwa na FANGASI SUGU, na jinsi ya kulinda uke kuwa murua endelea kupata elimu kutunza mwili wako na sehemu nyeti Zaidi.


MATATIZO YA FANGASI YANAEPUkIKA
Uke ni sehemu ambayo inapanswa isiwe na dhoruba yoyote haijarishi umri mkubwa au mdogo na ndo maana ikaitwa ni sehemu za siri, maana ya neno siri ni kwamba haipansi kupata shida nyingi yakiwemo na magonjwa ya fangasi ambalo ndo leo napenda kulizungumzia kwa kina maana ni tatizo linaloadhiri hata watoto wetu punde wakiwa wachanga nando maana kwa sasa matatizo ya kuharibika kwa mfumo wa uzazi nayo yanazidi kuongezeka kila kukicha na mtu akishaathirika na fangasi anapambana na dhoruba kama zifuatazo
i.              Kuwashwa sehemu za uke na kukaa unajikuna kila muda, ukumbuke kuwa sehemu za uke hazipansi kuhagaishwa mara kwa mara kwa kukunwa na kucha bali babu na bibi tu ndo wanaopaswa wao wasumbuane wala si singinevyo.
ii.            Kutoa harufu mbaya ukeni au kutoa maji maji yanayonuka.utafiti umefanyika kuwa sehemu inayopanswa iwe safi kwa mwanamke kuliko hata mdomo ni sehemu ya uke na pia ipate hewa ya kutosha.
iii.            kuwa na wekundu sehemu za uke kama vile kaungua moto, hiyo nayo ni changamoto inakumba wanawake wengi na maumivu ya dani kwa ndani.
iv.           Ukiingiza kidole unatoka na vitu vyeupe wakati huko mwanzo tumesema kunatakiwa kuwe na rangi kama maji meupe na yenye mnato na harufu murua

NINI AFANYE KWA MTU ALIE TAYARI NA TATIZO HILO FANYA HAYA JAPO YANAHITAJI UMAKINI ZAIDI.
Kuna moja ya vitu ambavyo akivitumia kwa umakini vizuri na kwa aubora Zaidi hiyo changamoto anaepukana nayo.
a.    Vitunguu swaumu, hakikisha kila siku unakula vitunguu swaumu angalau kilo moja kama umeasilika sana kwa wiki 2. Vitukunguu swaumu vinasaidia kukupa antibiotic ambayo inasaidia kushambulia kuua wadudu wabaya.

b.    Tumia mafuta na nazi ambayo hayajafanyiwa uchakachuzi hata kidogo kwa wiki mbili mfululizo bila kukatisha
c.    Tumia maziwa ya mtindi au mgando kila siku angalau robo tatu kila siku kwa wiki 2 haya yanasaidia kuzalisha bakteria wazuri mwilini na wanasaidia kupambana na wadudu wabaya kwenye hii inshu ya maziwa ni muhimu uweze kujua group lako la damu ili tukusaidia jinsi ya kutumia maana siyo kila mtu maziwa yanamfaa.
Hivyo vyote vinatumika kwa pamoja zote kwa wakati mmoja na kwa wiki 2 hadi 6 kila siku.
SULUHISHO LISILO NA WASIWASI NA LA KUONDOA FANGASI NA KUJIKINGA USIPATE MARADHI YA FANGASI.
Hapa ndo tunaona umuhimu wa kutumia virutubisho vilivyo andaliwa kwa ubora kwani hivi unapata kinga na kuondoa changamoto kwa pampoja vyenyewe vinasaidiaje.wataalamu wanazidi kusisitiza kuwa utumiaji wa tiba lishe ni muhimu kuliko kunywa madawa ya hospitalini japo hajakukataza kwenda hospital, lakini unapotumia virutubisho mwili unauongezea kiwango kizuri cha ufanyaji kazi kati mzunguko mzima wa utoaji takamwili pamoja na ufyozaji wa vitamin mwilini.
·         Vinakupa joto dhabiti na murua mwili mzima na hii ndo sababu moja wapo ya mwanamke kupendwa kwenye tendo na mwenzi wake.
·         Kuna bidhaa iliyotengenezwa kwa vitunguu swaumu kwa kiwango kinachotakiwa na kwa ubora pia imedhibitishwa kwa matumizi sahihi ya kibinadamuhusaidia kuua bakteria na uzuri imechanganywa na vitu vingine kwa kwa kuendelea kukiimaliza Zaidi kidonge kimoja ni sawa na 1000g ebu jiulize kama wewe unakula vitunguu vya kawaida utakula vigapi kufukisha hicho kiwango.
·         Vinakusaidia kukuweka salama katika kipindi cha hedhi kwa kipindi hiki ndo wadudu wengi hushambulia katika sehemu za ukeni.
·         Vinasaidia kuondoa harufu mbaya ukeni
·         Utapata lotion Vinakupa uwezo wa kuhakikisha pale utakapopaka sehemu zako za uke kurudishwa katika ubora wake na kuwa finyu na kukusaidia kufurahia tendo la ndoa bila maumivu au msuguano na kipindi cha hedhi hamna haja ya kuweka ndimu maana siyo kila ndimu ni nzuri.
Je wewe ungependa kuboresha sehemu zako za uke wasiliana nasi ili kukupa ushauri juu ya afya yako na jamii yako
+255752304044 whatssap or call
+255716211801 call only

0 Comentarios