• Home
  • AFYA YA WANAUME
  • AFYA YA WANAWAKE
  • BIASHARA
    • MAWASILIANO
NUTRIJOJU GLOBAL HEALTH
FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
(   Abdominal Ulcers)
 Hili limekuwa janga kubwa kwa watanzania walio wengi kibaya zaidi wengi wao hawajui suluisho sahihi liko wapi na kuishia kubaki sugu kwenye miili yao na kufikiri labda ni magonjwa ya maisha au kurithi. Hivo jamii kubwa mpaka leo hii hawajui suluisho hasa la VIDONDA vya tumbo ingawa ni hatari sana kwa afya.
Usisahau kuwa zaidi ya asilimia 75 magonjwa yote ya kiafya huanzia tumboni sasa ungana nami hapa uweze kujua ninichakufanya.
Vidonda vya tumbo maana yake nini........
Hii ni hali ya kuwa na vidonda au michubuko, majeraha ndani ya ule ukuta laini wa tumbo lako la chakula (membrane)
NINI HUSABABISHA VIDONDA HIVI
Imekuwa ikitafsiriwa na kila mtu kulingana na anavyodhania huko kwenye jamii zetu kuhusu tatizo hili sasa leo ningependa ujue hali halisi na chanzo hasa cha tatizo hili. Yako mambo mawili makubwa ambayo huleta vidonda vya tumbo.
1.Maambukizi ya bacteria aitwayo H.pylori pamoja na

2.Utumiaji madawa ya kupunguza maumivu (NSADs) kama panadol, ibuprofen, diclofenac sasa kama huwa unatumia dawa hizi halafu tayari ulikua na vidonda vya tumbo either ulikua unajijua au bado juwa wazi unaandaa mazingira ya hatari zaidi tumboni kwako kwa sababu dawa hizi zitazidi kuharibu mfumo wako wote wa digestive system (utumbo na ukuta wa tumbo la chakula) sasa je utajuaje kama wewe ni mmoja ya watu wenye tatizo hili ungana nami kujua ni zipi dalili za vidonda vya tumbo.
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
-Maumivu ya tumbo yanayo choma -hapa tumbo huwa linaunguza sana hasa katikati lakini pia karibu na kifua juu kabisa ya kitofu ikiambatana na kiungulia
-Tumbo kujaa gesi hili limekuwa tatizo la watu wengi sana kiasi kwamba watu huzani kuwa ni kawaida lakini kumbe siyo kweli pia huambatana na kusumbuka choo kubwa kuipata kwa shida

-Kutapika hapa waliofikia hatua mbaya hufikia kipindi mpaka kutapika damu sasa dalili hiyo ujue wazi kuwa vidonda vyako vimefikia mahala pabaya. Sasa wengi hufikiri labda vidonda vya tumbo siyo tatizo kubwa na hii ni kwasababu hawajui madhara hasa nini kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo
·         Kupata choo/kinyesi cheusi. Hii husababisha na pale anapokuwa na tatizo la kuvuja damu tumboni na kufanya atoe choo cheusi
·         Kuishiwa nguvu za kiume. Asilimia wa kubwa ya wanaume waliothirika kwa madonda ya tumbo wengi hupata changamoto pia za kupungukiwa kwa nguvu zao kwa sababu damu hushindwa kufika ya kutosha kwenye mfumo mzima wa uzazi kuongeza kiwango cha ujazo wa damu hivyo humfanya asiwe na uwezo wa kushiriki ipasavyo tendo au kukosa hamu kabisa kutokana na maumivu anayoyapata .
·         Sehemu za mwili kupata ganzi. Hii hutokana na damu pale inapokuwa ikivuja tumboni inapelekea baadhi ya sehemu za mwili kukosa damu ya kutosha na kufa ganzi au klutokufanya kazi ipasavyo.
·         Kichefuchefu au kukosa hamu ya kula kabisa. mwathirika wa madonda ya tumbo hukumbwa sana na changamoto ya kutokupata hamu ya kula au kichefuchefu kwa sababu ya tindikali inapokuwa ikimwangika nyingi mwilini mwake humpelekea kukosa kabisa hamu ya kula.
MADHARA
1.kutoboka utumbo mdogo kama uliwai kuona au kuambiwa mtu alipoteza uhai kwasabu ya tatizo hili basi ujue kuwa utumbo ulikwisha athiriwa pia na hii ni kwasababu ya acidi kutumika ndivyo sivyo ndani ya mwili baada ya kupata vidonda vya tumbo
-Kupungua uzito na hii ni kwasababu ya vyakula kushindwa kunyonywa ipasavyo ndani ya mwili ndio maana choo kubwa pia inakuwa nyeusi au ya giza ,wako watasema unamawazo au kuathirika kumbe shida ni Vidonda vya tumbo/digestive system health

-Ni rahisi kupata kansa ya utumbo kwasababu ya kuharibika kwa zile seli.
·         Kuumwa mgongo au kiuno
·         Kizunguzungu
·         Kukosa usingizi
·         Kuchoka bila sababu.
·         Kwa mwanamke kuharibika kwa mzunguko wa hedhi

Suluhisho ...
Imekuwa mazowea sasa watu kuskia maumivu hayo na kuendelea kunywa dawa za maumivu bilakujua kuwa wanazidi kuhatarisha zaidi kumbe ni bora hata ukatumia mboga za majani zote, na kuacha kutumia kahawa kwakua ina caffeine lakini pia machungwa na zabibu zina acidi nyingi hivo kama kupata unafuu zingatia hayo
SULUHISHO LA KUDUMU....
Kulingana na uhalisia wa haya madonda ya tumbo yanavyosumbua na watu kutafuta ufumbuzi kwa kubahatisha bahatisha tumekuandalia virutubisho ambavyo vingefaa kutumika kila siku ili kuakikisha unarudisha afya imara na kuepukana na haya madawa ya kikemikali pamoja na mitishamba kwani vyakula ndivyo nguzo sahihi kwa afya yako.
Hivyo kuna program ambayo inasaidia na kuimarisha vitu vingi mwili tuone faida mojawapo zingine utazipata pale utakapokuwa na uhitaji na ukaichukua kuanza kutumia nazo ni;
~ inasaidia kuondoa gesi tumboni na kukuimarishia uwezo wa kupata choo vizuri
~ inasaidia kuondoa sumu mwilini kuligana na utumiaji wa madawa yenye kemikali na kuasiliwa na mazigira kwa ujumla
~ inajenga sehemu ya utumbo iliyojeruhiwa na wadudu au kemikali tumboni
~ inarudisha uwezo wa nguvu na hamu ya kula
Na badae utakuwa unatumia vitu ambavyo umekatazwa kuwa usile na utaendelea na maisha kama kawaida na vyakula.
Mwenye kuitaji kuimarisha afya yake wasiliana nasi kwa namba.
Wasiliana kwa kupiga au moja kwa moja whatsapp +255752304044
Jiunge kwenye group la whatssap ujifunze Zaidi megine mengi.
GUSA HAPA UJIUNGE KWENYE GROUP LA AFYA

FAHAMU KUHUSU KUHARIBIKA KWA MIMBA NA SULUHUSHO
 (causes of miscarriage and how to avoid)

Kuharibika kwa mimba ni ile hali ya kutoka kwa mimba bila kukusudia na muda mwingine inaweza kuharibika bila hata kujua, lakini mtu akitoa mimba hiyo tunaita ni (abortion). Mimba Zaidi ya 500,000 zinaharibika katika kipindi cha miezi 3 _9 inchini marekani hizi ni takwimu ambazo zimeweza kutokea lakini ukumbuke kuwa hata mimba kutoka au kuharika kwa siyo kwa kukusudia ila ikiwa ni kwa uzembe wako hiyo ni dhambi kubwa unahesabika ni muuaji kama mtu alieitoa mimba kwa kukusudia.
Mimi katika nakala hii napenda nizungumzie wale ambao mimba zinaharibika bila kukusudi au mimba zinazotoka bila wao kujua kwani hawa hawana hatia hivyo ninauhakika ukisoma hivi vyazo vitakusaidia kwani vimesaidia watu wengi pale walipoamua kuepukana na hivyo vyazo na leo hii ninaushuda wa watu waliofanikiwa kupata watoto baada ya elimu mbalimbali ndo maana leo nikaona niiweke hii elimu wazi, mambo yanayochangia mimba kuharibika bila kukusudia ni kama yafutayo:
·         Uzito mkubwa(overweight), imefanyiwa utafiti na kuonekana kuwa wanawake wanaobebe ujauzito na wakiwa na hali ya uzito mkubwa hupelekea kuharibika kwa mimba maana mwili hukosa uwezo wa kujibalance na hivyo hupelekea kuanza kujipunguza wenyewe bila wewe kutaka na maana huanzia kwa kutoa kijusi.
·         Nyama uzembe ndani na nje mwili, nyama uzembe watu wamezoea kujiangalia mikononi, tumboni na kwenye mapaja kwa nje kumbe kama uko na hali namna hiyo ujue kuwa nyama uzembe hutokea hadi dani kwenye tumbo na kama ukiwa na ujauzito nyama hizo hupelekea mimba kutoka.
·         Vimbe vya uzazi (fibroids), vimbe vya kwenye via vya uzazi hupelekea mimba kuhariba kwa sababu huo uvimbe unaweza kutokea sehemu mbalimbali vimbe zinaweza kutokea ndani ya mfuko wa uzazi ( uterus) na inje ya mfuko wa uzazi, vimbe hupelekea kuadhiri ukuaji wa mtoto na kunyonya damu kwa wingi na kumfanya mtoto adhoofike afya yake na hatimae mimba kutoka
·         Umri mkubwa, utafiti unaonyesha kuwa wanawake wengi wanaobeba ujauzito wakiwa na umri wa kuanzia miaka 35 nakuendelea mimba nyingi huharibika hii ni kwa sababu miili yao inakosa kingi ya kumtosha yeye mwenyewe na mtoto pia mishipa yao hulegea na kushidwa kuhimili jinsi ya kushikilia kiumbe kipya.
·         Utoaji mimba (abortion). utoaji wa mimba wa mara kwa mara huufanya mwili usiwe na ubora wa kushikiria kijusi kwani inakuwa imesumbuliwa hadi kulegea kwa mishipa pia

DALILI ZA HATARI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA. (symptoms of miscarriage)
·         Kutoa matone ya damu ukeni, hii haimanishi kuwa kila tone la damu ni kuharibika kwa mimba lakini ni dalili mojawapo nayo.
·         Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara , hii inaweza kusababishwa na kupungukiwa kwa damu au kutokunywa maji mengi
·         Mtoto kutokucheza tumboni, unaweza ukajaribu kufanya hivi kunywa maji mengi ya baridi ili kumpa ubaridi mtoto ili acheze maana tumboni ni pa moto sana hivyo usipoona kacheza napo ni dalili mbaya.
·         Chupa kupasuka na kutoa maji mengi ukeni
·         Miguu kuvimba, mikono au uso, hii ni huwatokea wanawake wengi kama asilimia 45 ya wajawazito hali kama hii inaweza kusababishwa na baadhi ya magonjwa kama pressure,kisukari au protein kuwa juu Zaidi n.k..
·         Kutokuona vizuri au kizunguzungu na kuishiwa nguvu
·         Kupata maumivu au damu wakati wa tendo la ndoa, kutokana fikra mbaya kwa watu wanasema kuwa ukiwa mjamzito usifanye tendo la ndoa lakini kama uko na afya njema kufanya tendo la ndoa siyo vibaya fanya hadi siku ya kuzaliwa haina madhara kabisa
Kumbuka kuwa siyo kila unapoina dalili siyo kingezo cha moja kwa moja kuwa mimba imeharibika la hasha bali unapoona dalili unapanswa ufanye upimaji wa afya ili kuhakikisha kuwa uko salama Zaidi.
Laiki ni vema tukajifunza vitu gani mwanamke anavipitia baada ya mimba kuharibika au madhara yapi humkuta mwanamke pindi mimba inapoharibika.
FAHAMU MADHARA YA MIMBA KUHARIBIKA, (effects of miscarriage)
Kibinadamu kuharibika kwa mpango ambao tayari upo kichwani na kimwili pia inasababisha madhara katika pande zote kuanzia kiafya na kifikra ebu jifunze madhara yanayotokea baada ya mimba kuhaibika.
a.    Kuugua mara kwa mara, hapa husababishwa na kuvurukika kwa mwili au kubakia baadhi ya uchafu na hivyo bacteria wabaya huushambulia mwili kutokana na mabaki ya uchafu kama hajasafishwa vizuri.
b.    Kupata kansa ya uzazi, hii ni changamoto kubwa kwa wanawake wanapopatwa na tatizo la kuharibika kwa ujauzito kwani huwa ni kirahisi sana kuadhirika na tatizo la ugonjwa wa kansa ya kizazi.
c.    Kuathirika kisaikolojia. Mama anapopatwa na shida ya kuharibikiwa kwa mimba huathirika fikra hasa pale anapomuona mwanamke mwezake anaujauzito au ananyonyesha kwani hujihisi kana kwamba hawajakamilika na kuitwa mwanamke nando hapo wengi hujiingiza kwenye utumiaji wa madawa kiholela na kukosa utulivu wa kutafuta suluhisho sahihi kwake na la kumsaidia
SULUHISHO LA VIRUTUBISHO LINALOPENDWA NA WATU WENGI………

Kuanzia mwanzo jinsi mwili unaumbwa haujatengenezwa kwa ajili ya matumizi ya dawa ili kuujenga uwe na afya njema, bali kwa kupata lishe ili kuzirisha seli na hizo seli zinaupa mwili nguvu na ubora, hapa ndo tutaona umuhimu wa kutumia virutubisho kwa ajili ya kujenga mwili kuanzia dani na nje.
i.              Kama mwanamke anauzito mkubwa zitamsaidia kwanza kupunguza uzito/au kilo ili ziwe sawa na jinsi zinavyopanswa awe
ii.            Zinasaidi kuondoa takamwili mwilini na kuboresha uwezo wa kutokupata choo
iii.           Zinasaidi kuupa mwili kiwango kikubwa cha madini ya protein na calcium
iv.           Zinasaidi kuboresha mfuko wa uzazi ili kuuboresha uimarike mishipa na uwezo wa kusambaza damu kwa mtoto na mimba kuharibika ovyo ovyo
v.            Zinasaidia kuondoa nyama uzembe na kubalansi uzito kama kabla haujabeba ujauzito
vi.           Zinasaidiakuupa mwili madini aina ya folic acid ambazo hufanya za uumbaji wa mtoto kuzaliwa bila madhara yoyote ya viungo n.k
Hivyo unaweza kuwasiliana na kampuni moja kwa moja ili kupata elimu ya afya ya uzazi kwa upana Zaidi na virutubisho kwa namba…………
                                            +255752304044 whatsapp or call


                     FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
                                     (PEPTIC ULCERS)
UTANGULIZI
Hii imekuwa changamoto kubwa sana kwa watu wengi halafu kibaya Zaidi wengi wao hawajitambui mapema kama tayari wako nahii tatizo la madonda ya tumbo,na hatimaye kupelekea matatizo makubwa Zaidi kiafya.Katika afya ya binadamu mfumo wa njia ya chakula ukiusisha tumbo ni muhimu sana katika kuhakikisha kila mtu anapata afya sahihi na kitu ambacho ulikuwa ukijui ni kwamba Zaidi ya asilimia 75% magonjwa yote huanzia tumboni,na hii ni kwasababu afya zetu huimarishwa na vyakula tulavyo hivyo kama mfumo mzima wa njia ya chakula hauko vizuri basi inakuwa hatari kubwa sana ya kudhoofisha mwili na afya kwa ujumla.Baada ya kufahamu hayo ni muhimu sasa sisi sote tuelewe nini tunamaanisha hasa tunapozungumzia vidonda vya tumbo hasa jinsi vinavyoweza kutokea,dalili zake na madhara kwa ujumla ili uweze kudhibiti tatizo hili kukupata na kuliondoa kama uko nalo tayari.Tuanze na maana harisi kwanza nini maana ya vidonda vya tumbo.
NINI MAANA YA VIDONDA VYA TUMBO NA HUSABABISHWAJE
Vidonda vya tumbo hii ni ile hali yakuwa na vidonda au michubuko kwenye ukuta (membrane) mwembamba na laini sana watumbo lako la chakula.Naviko vitu kadhaa ambavyo huweza kusababisha changamoto hii ya vidonda katika tumbo lako la chakula,sasa vifwatavyo ni mambo au sababu zinazopelekea mtu kupata vidonda vya tumbo;
·         Helicobacter pylori;huyu ni bacteria ambae ndie anaeleta maambukizi haya ya vidonda vya tumbo inasemekana kuwa bacteria huyu tunaishi nae tumboni kwa kipindi kirefu tu lakini mwisho wasiku huperekea madhara makubwa sana katika kuathiri ukuta wat umbo lako la chakula na hatimaye kupata vidonda vya tumbo.
·         Matumizi ya madawa ya kuondoa maumivu; tumekuwa tukiishi na kuyapa sana kipaombele hasa haya madawa ya kikemikali sasa kitu ambacho unapaswa kukifahamu sasa ni kwamba huu utumiaji wa madawa ya kupunguza maumivu kama Panadol,ibuprofen,pamoaja na asprine kwa Zaidi ya asilimia 50% huchangia kupata vidonda vya tumbo,na imekuwa mazowea sasa kichwa kikiuma kidogo unatafuta dawa ya maumivu bila kujua unazidi kuhatarisha afya yako.
·         Mtindo halisi wa kimaisha;hapa tunazungumzia sasa maisha ambayo umeyachagua kuyaishi kwa namna moja au nyingine huweza kuchangia kupata vidonda vya tumbo kama utumiaji wa madawa mfululizo,msongo mawazo na hasira kila wakati,kutumia vyakula vyenye acid nyingi wakati tumbo liko empty au halina kitu kama machungwa,kahawa,lakini pia huvutaji sigara nao unachangia pia wewe kupata vidonda vya tumbo.Hizo ndizo sababu au makundi matatu makubwa humfanya mtu aweze kupata vidonda vya tumbo ingawa ziko asilimia chache sana watu hupata vidonda vyatumbo yabila sababu kufahamika lakini pia kwa asilimia chache watu hupata vidonda vya tumbo kwasababu ya kurithi.Sasa ni muhimu hapa kuwa makini na afya yako ili kuakikisha unadhibiti ipasavyo tatizo hili, kama nilivyosema mwanzo wengi huwa ningumu kufahamu kama wako na hili tatizo kwa pamoja sasa hebu tuone nini hasa dalili za vidonda vya tumbo ili ukiwa nazo basi uchukue hatua kwa haraka;
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Ukiona unadalili hizi tajwa hapo chini moja au Zaidi kwa muda kadhaa na ukuwai kufikilia wala kuwaza kama labda kuna uhusiano na vidonda vya tumbo basi ni vyema ukachukuwa hatuwa mapema;
-Maumivu makali ya tumbo upande wa juu hii ni hali ambayo inawakuta watu wengi sana na mara nyingi maumivu haya yaweza kuwa kuisi kama tumboni kunawaka moto na kuungua sana au yakawa ya kuchoma Zaidi basi juwa wazi kuwa hizo ni dalili za mwanzo za vidonda vya tumbo.
-Kiungulia hii ni ile hali yakupata kiungulia na tumbo huwa lina jaa gas sana kiasi kwamba hupelekea mtu kushindwa kujiskia vizuri kwa tumbo lake na mfumo mzima wa njia ya chakula,sasa kitu kinachopelekea wewe upate kiungulia ni kwasababu tu ya kiwango cha acid kinachozalishwa mwilini mwako ni kingi na hakitumiki ipasavyo hivo ile acid inaunguza sehemu zile zenye vidonda au michubuko katika ukuta wat umbo lako la chakula.
-Kupata kichefufu,kutapika,na kuharisha hapa tunazungumzia kupata mchafuko wa njia hii ya chakula moja kwa moja naivo kupelekea kupata kichefuchefu na kukosa hamu ya kula kabisa kwasababu ya kutapika na kwenda chooni kwajili ya haja kubwa ambayo kiasi kwamba inakumaliza mpaka nguvu za mwili.Pia hapa katika kutapika kama vidonda vyako vimesha kuwa kwa kiasi kikubwa utaona mtu anatapika damu basi ujue kuwa hatua uliyofikia unaitaji utatuzi wa uhakika.
-Kujihisi tumbo limejaa wakati unakula hapa hupelekea mtu kushiba mapema nawakati alikua na hamu ya chakula lakini chaajabu ndani ya masaa matatu baadae anapata njaa kali basi ukiona hali hiyo maana yake kwamba tayari tumbo lake la chakula limekwisha athiriwa na vidonda na malanyingi watu wa namna hii huwa wanasumbuka sana na tatizo la tumbo kujaa gesi.
-Ukosefu wa choo kubwa hali hii hutokana na tumbo au utumbo wako wa chakula kushindwa kufanya kazi ipasavyo na kupelekea hata ukipata choo basi inakuwa ya tabu au kukosa kabisa na wengine kupata choo kama cha mbuzi kigumu ,na kiuharisia unatakiwa upate choo kubwa kulingana na idadi yamlo ulao kilasiku,lakini imekuwa kawaida kwa mtu kupitiliza Zaidi ya siku mbila kupata choo kubwa.Sasa hizo zote hapa ni dalili ambazo kwa namna moja huashilia kuwa ukouwezekano mkubwa wa kuwa na tatizo hili la vidonda vya tumbo,lakini pia ni muhimu sasa kufahamu kuwa haziishii tu kuwa dalili au viashiria vya madonda ya tumbo bali pia hupelekea madhara makubwa sana katika afya yako yafwatayo hapo ni matatizo au madhara yatokanayo na vidonda vya tumbo.
MADHARA YA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo ni tatizo kubwa sana tu katika afya za watu walio wengi sio Tanzania tu bali hata nchi zilizoendelea,na ndio maana tunaona watu wana kufa wengine hufanyiwa mpaka oparesheni kwasababu ya vidonda vya tumbo ,na mfumo huu wa njia ya chakula ndio husemekana kuwa uko na bacteria wengi sana wote wazuri na wabaya sasa unapofanyiwa oparesheni basi unapelekea wadudu hawa wabaya kujidharisha kwa wingi Zaidi na kuhatarisha afya yako,yafwatayo ni madhara ya tokanayo na vidonda vya tumbo:
1.    Kujifunga kwa utumbo mkubwa(obstruction) vidonda hivi vya tumbi vikizidi huanza kuathiri pia utumbo mkubwa na mdogo ambapo pia hupelekea madhaifu katika muundo mzima wa njia ya chakula kuanzia kuvunjwa vunjwa na kuweza kunyonywa vizuri kwenye utumbo mdogo na hatimaye taka mwili zitolewe kwa njia ya haja kubwa sasa utumbo unapojifunga unakuwa huwezi tena kuufanya huu mtiriko uenda ipasavyo na mwisho kupelekea adhari nyingi kiafya.
2.    Kutoboka kwa utumbo baada ya ukuta watumbo kupata vidonda ile acid inayozalishwa tumboni mwako ili kuwezesha uvunjwaji wa chakula ili kiweze kufanya kazi ipasavyo hutumika ndivyosivyo na kupelekea utumbo mkubwa kutoboka na kushindwa kufanya kazi ipasavyo.
3.    Vidonda vya koo pamoja na kutoka damu tunasema njia ya chakula huanzia mdomoni mpaka njia ya haja kubwa hivo hawa bacteria ambao husababisha vidonda tumboni ndio mwisho huja kuathiri mpaka kwenye koo lako la chakula na tunaona watu wanapoteza maisha kwasababu ya cancer ya koo,lakini pia kupata choo yenye damu hii yote kwasababu ya madhara ya vidonda vya tumbo kama hatuwa za haraka na uhakika hazikuchukuliwa
4.    Kupungua uzito tunasema mfumo wa njia ya chakula ndiko tunakoipatia afya njema sasa kama tumbo halifanyi kazi ipasavyo basi swala la afya njema litakuwa ni kitendawili, na ndio inapelekea watu kupoteza uzito au kupungua uzito siku baada ya siku kiasi kwamba wengine hufikiri labda mtu yule kaathirika kumbe mfumo tu haunyonyi lishe ipasavyo kutoka kwenye vyakula ulavyo kilasiku.Hivyo kama nilivyoweza kusema mwanzo mfumo wa njia ya chakula ambao unahusisha tumbo na ndilo ambalo linachangamoto kubwa sana ya kupata vidonda vya tumbo,hivyo ni muhimu sasa kuchukua hatua na suluisho sahihi ili kuweza kujenga afya imara na kama ujuavyo afya iko mala moja tu hivyo ni muhimu kuithamini,sasa tunaelekea kipengere cha mwisho kuhusu vidonda vya tumbo.

SULUISHO KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
Hili tatizo la vidonda vya tumbo limekuwa tatizo kubwa na baadhi ya watu wanaamini kuwa halina suluisho la moja kwa moja kulingana na jitihada walizofanya huko na hali halisi walio nayo kwasasa.Sasa hii leo ni taarifa nzuri kwako,nia yetu ni nzuri kuwasaidia watu wote waweze kuishi na afya imara na zenye ubora,na unachopaswa kujuwa ni kwamba afya ya mwili inatokana na vyakula nasio madawa wala mitishamba na ukiona mtu anafanyiwa upasuaji basi juwa wazi hilo siyo suluisho ila nikujaribu kuokoa mtu huyu asije akapotea uhai,Tumekuandalia suluisho sahihi la vidonda vya tumbo kwa alieathirika na mwenye kuitaji kudhibiti tatizo hili lisimpate kwa kutumia programu yetu muhimu ambayo imeandaliwa na mchanganyiko wa vyakula muhimu katika kujenga afya bora wakati unapochukua jukumu la kuitumia hii program unapata manufaa yafuatayo
1.    Kuondoa athari za sumu zitokanazo na madawa ya kikemikali ambayo kwa namna moja au nyingine ulishatumia kwenye maisha yako kama suluisho
2.    Kudhibiti aina yeyote ile ya maambukizi iwe kirusu,bacteria,fangasi au vimelea vya magonjwa kama minyoo
3.    Kuweka uwiano mzuri wa bacteria wazuri na wabaya kwenye mwili wako
4.    Kuongeza na kuimarisha kinga ya mwili wako
5.    Kuboresha mfumo wako wa njia ya chakula pamoja kudhibiti tatizo la kupata choo kubwa kwa shida
6.    Kudhibiti tatizo la kujaa gesi tumboni
7.    Kusaidia matumizi sahihi ya kiwango cha acidi kinachozalishwa mwilini ili kusaidia kuvunjavunja chakula na kitumike ipasavyo
Sasa kwa yeyote ambae anaitaji huduma hii yakutumia program yetu awasiliane nasi kwa namba za simu +255752304044 Whatssap/call
                    
NOTE; Bidhaa hizi siyo sawa, pia kwa program yoyote ya ulcers ni muhimu uitumie angalau kwa miezi 3. Etc

Older Posts Home

ABOUT ME

SUBSCRIBE & FOLLOW

POPULAR POSTS

  • HIZI NDIZO SABABU ZINAZO WAFANYA WATU HAWAPONI VIDONDA VYA TUMBO
  • HEWA CHAFU/HARUFU KUTOKA UKENI
  • FAIDA NA MADHARA YA UTUMIAJI WA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO
  • JINSI YA KUZUIA UTI SUGU ISIJIRUDIE MARA KWA MARA
  • AFYA YA TEZI DUME.(prostate)
  • KWANINI WATU WENGI HAWAPONI VIDONDA VYA TUMBO
  • MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA TUMBO KUJAA GESI NA CHOO KIGUMU
  • VYANZO VIKUU VINAVYOSABABISHA MIMBA KUHARIBIKA .
  • JINSI YA KUIMARISHA FIGO ILIYOFELI
  • ELIMU YA NGUVU ZA KIUME

Categories

  • WANAUME 2
  • WANAUME NA WANAWAKE 3
  • WANAWAKE 5

Advertisement

Contact Form

Name

Email *

Message *

Total Pageviews

  • Home
  • AFYA YAKO

Search This Blog

Powered by Blogger.

Breaking

Recent In Internet

Recent Post

About Me

My photo
WIN-BIASHARA
View my complete profile

Comments

Trending Articles

  • HIZI NDIZO SABABU ZINAZO WAFANYA WATU HAWAPONI VIDONDA VYA TUMBO
  • HEWA CHAFU/HARUFU KUTOKA UKENI
  • FAIDA NA MADHARA YA UTUMIAJI WA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO
  • JINSI YA KUZUIA UTI SUGU ISIJIRUDIE MARA KWA MARA

Designed by kideka |