Hakuna jambo Ambalo litakuwa na faida bila
hasara, na kupanga uzazi ni jambo la msingi katika hali za maisha, lakini shida
inakuja kuwa hizo njia unazotumia zikoje na hii ni changamoto ambayp inasumbua kidunia
jinsi gani ya kuweza kupanga uzazi bila kuwa na madhara ya kiafya. kumbuka
kupanga uzazi siyo jambo mbaya shida pale inapokuja kuadhiri kwenye upande wa
afya hasa kwa wanawake maana hawa ndo waathirika wakuu hasa pale unapokuja
kuanza kutafuta mtoto na mtoto asipatikane lakini ni muhimu kujiuliza haya maswali kabla ya kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango,
faida
ni zipi pale unapotumia njia za uzazi wa mpango?,
madhara
ya kutumia njia za uzazi wa mpango?,
je ukishapata madhara njia za kuja kutatua ni
zipi?
Watu wengi wanaangalia faida ya muda huo
aliopo ambayo kubwa kabisa ni hii hapa chini.
*FAIDA ZA UTUMIAJI
WA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO.
Faida
kuu hapa ni kuweza kupangilia ukuaji wa watoto wako na kuwa na mpangilio wa
familia ambayo ndo inaunganisha hadi maswala ya jinsi gani ujisongeze kwenye
swala la kiuchumi.japo swala la upangaji wa uzazi wa mpango ni jambo ambalo
limeanza karine za hivyi punde. Lakini pia utumiaji wa njia za uzazi wa mpago
zinasababisha madhara mengi kwa sababu huwa zinaurisha mwili kwa kemikali
ambayo kwa badae hizo kemikali husababisha madhara mwilini
MADHARA YA UTUMIAJI WA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO.
Hakuna
njia kati ya hizo tatu ambayo isyo na madhara mwilini kwa mtumiaji na hadi kwa
kiumbe kingine kinachotarajiwa kije kizaliwe baada kutumia uzazi wa mpango.
a.
Kuvurungika kwa mpangilio/mzunguko wa hedhi
pale atakapositisha kutumia, nah ii inapelea kuvurunga kwa homoni mwilini
b.
Magonjwa ya mara kwa mara hasa maumivu ya
kichwa , kichefu chefu na maumivu ya tumbo na kiuno
c.
Kuziba kwa mirija ya uzazi au kupatwa kwa uvimbe
tumboni (fibroids). Na hii hali mtu ikishampata muadhirika kwa hospital njia
rahisi ni kufanyiwa upasuaji tu.
d.
Kutokwa na uchafu ukeni.
e.
Na wengine hawapati ujauzito hata baada ya
kusitisha kutumia hizo njia.
f.
Kupoteza hamu ya tendo la ndoa na wengine hata
kama ukikesha nae mwezio hafiki kileleni
g.
Kuadhiri ubongo na kuwa mtu wa hasira hasira
bila hata sababu
h.
Kuadhiri umbile kujinenepea au kukondeana Zaidi
i.
Na muda mwingine huadhiri hadi kwa mtoto
anaezaliwa
j.
Kuwachukia wanaume na kujiona yeye
anajitoshereza kila kitu.N.K
Nahisi
umeweza kuona madara ndo yako mengi kuliko faida simanishi kuwa watu waache
kutumia uzazi wa mpango bali lengo kuu ni kuweza kuwasaidia ambao tayari
wameshaadhirika na hali hii tayari waweze kujua kuwa nini kimetokea kwenye
miili yao wapo wengi wamekosa tumaini la kuweza kutatua hizo changamoto na
wengine kutengwa na familia zao kisa wanakuwa hawana uwezo wa kuzaa au
kupelekea kuondolewa mfuko wa uzazi (uterus) kabisa endapo utaonekana umeadhirika
tumaini la suluhisho lipo
endelea kufutilia nakala hii.
TUMAINI AU SULUHISHO LA UHAKIKA LIPO
unachopaswa
kwanza kabla ya kuanza kutafuta mtoto unapaswa kufanya (cleasing,and detoxification) kwenye mwili au kuondoa sumu
mwilini au kemikali ili kiuweza kuweka usafi wa mwili wengine wanapositisha
kutumia hizo njia za uzazi moja kwa moja wanaaza kutafuta njia za kuweza kupata
mtoto yaani kujamiana ili kutungisha mimba ndo maana hata mimba muda mwingine
inaweza kutungwa na ikatoka au kusitungwe
kwa mimba kabisa. Kwa sababu dani ya mwili hakuna uhusiano wa kuweza
kulea kiumbe hai hivyo unatakiwa uandae kwanza mazingra ya kukaribisha kiumbe
cha dhamani au kumkarisha mtoto katika mazingira safi na njia iliyo salama kwa
kuimarisha nyumba ya mtoto kabla ya kutunga mimba ni kufanya maadalizi
yafuatayo:
Hapo swala la kutumia virutubisho ndo
linaingia kati maana hata hospital kuna asilimia chache sana wa kuweza kutoa
sumu au kukusaidia upunguze uzito, faida za virutubisho kwa kumsaidia huyu
mwenye changamoto ni kama zifuatavyo;
·
Zinasaidia kuondoa sumu mwilini
·
Zinasaidia kubalansi kiwango sawa cha homoni na
kukupa mpangilio mzuri wa hedhi na kudhibiti maumivu ya aina yoyote.
·
Zinakupa hamu ya tendo la ndoa na
uwezo wa kuwa unafika kileleni kwa wakati
·
Zinazibua mirija iliyoziba na kushirinkisha
vimbe
·
Na kwa ujumla virutubisho hivi
vinakupa kinga ya mwili na afya njema kwenye sehemu uliyopungukiwa zenyewe
zinakuongezea kuwa imara Zaidi.
Unapenda uimarishe afya yako kwa kutumia hii
program au ushauri wa afya tunaweza wasiliana kwa mawasiliano
+255752304044 whatssap/call
N.B MLIZI WA AFYA YAKO NI WEWE MWENYEWE






0 Comentarios