MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA TUMBO KUJAA GESI NA CHOO KIGUMU


TUMBO KUJAA GESI NA KUPATA CHOO KWA SHIDA/KIGUMU

Hali hii inasumbua watu wengi kwa sababu wengi wao huona ni jambo la kawaida kutokana na kuizoea lakini huenda hawajui inaweza ikasababisha madhara gani katika mwili wao, kuanzia leo hii fahamu kuwa tumbo kujaa gesi au kushidwa kupata choo siyo jamo la kuchukulia kawaida kwani madhara yake ni makubwa Zaidi ya magonjwa ya kansa, kimsingi kama unakula mara tatu na choo unatakiwa upate mara tatu kwa kutwa na kiwe saizi ya ndizi, kisitoe harufu wala kisiwe kama cha mbuzi na usitumie nguvu.
Leo elimu ya vyakula imekuwa ni shida kabisa kuna baddhi ya vyakula ukivutumia kwa wingi Zaidi usishangae usiwe unapata choo au ukapata mara moja kwa siku tuone nini madhara ya tumbo kujaa gesi au kupata choo kigumu.
MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI AU KUTOKUPATA CHOO
Mwili wa binadamu ambae ni mtu mzima anakuwa na bakteria kwenye utumbo wake kama 2kg ambao ni wazuri na wabaya na kiafya inapaswa bakteria wazuri wazuri wawe 85% na wabaya 15% ikitokea uliganifu huu umeleta tatizo ndo inampelekea mtu tumbo kujaa gesi na kushidwa kupata choo kuligana na idadi ya jinsi anavyokula na itakuwa kirahisi kupata maradhi nyemelezi kama vile;
·         Kansa ya utumbo
·         Mzunguko wa hedhi kuchaganya au kupata maumivu.
·         Kukosa hamu ya tendo la ndoa
·         Maumivu ya viungo au kichwa mara kwa mara
·         Kunenepa ovyo ovyo
·         Kuishiwa nguvu za kiume
·         Inachochea kupata fibroids au vimbe vya uzazi kwa mwanamke
·         Kuwa na kitambi hata kama mwili wako ni mwembamba
·         Ni kirahisi kupata vimbe sehemu ya haja kubwa(bawasiri)
·         Kukosa hamu ya kula
·         Vidonda vya tumbo
·         U.T.I sugu na typhoid
·         Ngiri au hernia
·         Kupoteza kumbukumbu
·         Ni kirahisi sana kuugua kisukali,presha n.k

Je wewe leo hii umekuwa ukiteseka na changamoto mojawapo ambazo tumeweza kuzitoa hapo juu na uzuri mojawapo tumeweza kuelezea kila changamoto kwa kina kwenye blogu yetu ya NUTRIJOJU GLOBAL HEALTH kwa upana Zaidi
SULUHISHO
Kula matunda kwa wingi kuligana na kundi lako la damu ni muhimu Zaidi kwani itakufanya uwe unapata choo na kama mtu ukipata choo siyo kirahisi tumbo kujaa gesi, kunywa maji mengi kila siku yanayoendana na uzito wako,kufanya mazoeziya viungo na kuna wengine ambao hali kama hii haiwezi kutatuliwa kwa kula hivyo vitu na imeshakuwa sugu Zaidi kampuni imeweza kuandaa suluhisho la program ambayo inasaidia kufanya mambo kama haya
_ inasaidia kubalansi wadudu wazuri na wabaya ili kukufanya tumbo lisiwe linaunguruma
_ inasaidi kuondoa mrundikano wa sumu mwilini ambazo husababishwa na tumbo kujaa gesina sumu zikiwa nyingi hata mwili hukosa nguvu
_ inasaidia uweze kupata choo chenye sifa na kinachoshaini.
_ inakupa kinga ya mwili ili hali hiyo isiwe ya kujirudia rudia kila mara na megine mengi Zaidi
Kama umeguswa na unahitaji kuimarisha afya yako na kwa upana Zaidi aunkwa kutumia program hii wasiliana nasi kwa namba
Ø  +255752304044 call /whatssap
Ø  +255716211801 call only
N.B doctor wa kwanza wa afya yako ni wewe mwenyewe wala si mtu mwingine jenga mwili wako naturally na huepuke kupigwa bomba ili kupata choo tu.

GUSA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP GROUP KWA MWONGOZO ZAIDI

0 Comentarios