FAHAMU KUHUSU KUHARIBIKA
KWA MIMBA NA SULUHUSHO
(causes
of miscarriage and how to avoid)
Kuharibika kwa
mimba ni ile hali ya kutoka kwa mimba bila kukusudia na muda mwingine inaweza
kuharibika bila hata kujua, lakini mtu akitoa mimba hiyo tunaita ni (abortion). Mimba Zaidi
ya 500,000 zinaharibika katika
kipindi cha miezi 3 _9 inchini marekani hizi ni takwimu ambazo zimeweza kutokea lakini ukumbuke
kuwa hata mimba kutoka au kuharika kwa siyo kwa kukusudia ila ikiwa ni kwa
uzembe wako hiyo ni dhambi kubwa unahesabika ni muuaji kama mtu alieitoa mimba
kwa kukusudia.
Mimi katika nakala hii napenda nizungumzie
wale ambao mimba zinaharibika bila kukusudi au mimba zinazotoka bila wao kujua
kwani hawa hawana hatia hivyo ninauhakika ukisoma hivi vyazo vitakusaidia kwani
vimesaidia watu wengi pale walipoamua kuepukana na hivyo vyazo na leo hii
ninaushuda wa watu waliofanikiwa kupata watoto baada ya elimu mbalimbali ndo
maana leo nikaona niiweke hii elimu wazi, mambo yanayochangia mimba kuharibika
bila kukusudia ni kama yafutayo:
·
Uzito mkubwa(overweight), imefanyiwa utafiti na kuonekana kuwa wanawake wanaobebe
ujauzito na wakiwa na hali ya uzito mkubwa hupelekea kuharibika kwa mimba maana
mwili hukosa uwezo wa kujibalance na hivyo hupelekea kuanza kujipunguza wenyewe
bila wewe kutaka na maana huanzia kwa kutoa kijusi.
·
Nyama uzembe ndani na nje mwili,
nyama uzembe watu wamezoea kujiangalia mikononi, tumboni na kwenye mapaja kwa
nje kumbe kama uko na hali namna hiyo ujue kuwa nyama uzembe hutokea hadi dani
kwenye tumbo na kama ukiwa na ujauzito nyama hizo hupelekea mimba kutoka.
·
Vimbe vya uzazi (fibroids), vimbe vya kwenye via vya uzazi
hupelekea mimba kuhariba kwa sababu huo uvimbe unaweza kutokea sehemu
mbalimbali vimbe zinaweza kutokea ndani ya mfuko wa uzazi ( uterus) na inje ya mfuko wa uzazi, vimbe hupelekea
kuadhiri ukuaji wa mtoto na kunyonya damu kwa wingi na kumfanya mtoto adhoofike
afya yake na hatimae mimba kutoka
·
Umri mkubwa, utafiti
unaonyesha kuwa wanawake wengi wanaobeba ujauzito wakiwa na umri wa kuanzia miaka 35 nakuendelea mimba nyingi huharibika hii
ni kwa sababu miili yao inakosa kingi ya kumtosha yeye mwenyewe na mtoto pia
mishipa yao hulegea na kushidwa kuhimili jinsi ya kushikilia kiumbe kipya.
·
Utoaji mimba (abortion).
utoaji wa mimba wa mara kwa mara huufanya mwili usiwe na ubora wa kushikiria
kijusi kwani inakuwa imesumbuliwa hadi kulegea kwa mishipa pia
DALILI ZA
HATARI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA. (symptoms of miscarriage)
·
Kutoa
matone ya damu ukeni, hii haimanishi kuwa kila tone la damu ni
kuharibika kwa mimba lakini ni dalili mojawapo nayo.
·
Maumivu
ya kichwa ya mara kwa mara , hii inaweza kusababishwa na kupungukiwa
kwa damu au kutokunywa maji mengi
·
Mtoto
kutokucheza tumboni, unaweza ukajaribu kufanya hivi kunywa maji
mengi ya baridi ili kumpa ubaridi mtoto ili acheze maana tumboni ni pa moto
sana hivyo usipoona kacheza napo ni dalili mbaya.
·
Chupa kupasuka na kutoa maji
mengi ukeni
·
Miguu
kuvimba, mikono au uso, hii ni huwatokea wanawake wengi kama
asilimia 45 ya wajawazito hali kama hii inaweza kusababishwa na baadhi ya
magonjwa kama pressure,kisukari au protein kuwa juu Zaidi n.k..
·
Kutokuona vizuri au kizunguzungu na kuishiwa
nguvu
·
Kupata
maumivu au damu wakati wa tendo la ndoa, kutokana fikra mbaya kwa
watu wanasema kuwa ukiwa mjamzito usifanye tendo la ndoa lakini kama uko na
afya njema kufanya tendo la ndoa siyo vibaya fanya hadi siku ya kuzaliwa haina
madhara kabisa
Kumbuka
kuwa siyo kila unapoina dalili siyo kingezo cha moja kwa moja kuwa mimba
imeharibika la hasha bali unapoona dalili unapanswa ufanye upimaji wa afya ili
kuhakikisha kuwa uko salama Zaidi.
Laiki
ni vema tukajifunza vitu gani mwanamke anavipitia baada ya mimba kuharibika au
madhara yapi humkuta mwanamke pindi mimba inapoharibika.
FAHAMU MADHARA YA MIMBA KUHARIBIKA, (effects
of miscarriage)
Kibinadamu kuharibika kwa mpango ambao tayari upo kichwani
na kimwili pia inasababisha madhara katika pande zote kuanzia kiafya na kifikra
ebu jifunze madhara yanayotokea baada ya mimba kuhaibika.
a. Kuugua mara kwa mara, hapa
husababishwa na kuvurukika kwa mwili au kubakia baadhi ya uchafu na hivyo
bacteria wabaya huushambulia mwili kutokana na mabaki ya uchafu kama
hajasafishwa vizuri.
b. Kupata kansa ya uzazi, hii
ni changamoto kubwa kwa wanawake wanapopatwa na tatizo la kuharibika kwa
ujauzito kwani huwa ni kirahisi sana kuadhirika na tatizo la ugonjwa wa kansa
ya kizazi.
c. Kuathirika kisaikolojia. Mama
anapopatwa na shida ya kuharibikiwa kwa mimba huathirika fikra hasa pale
anapomuona mwanamke mwezake anaujauzito au ananyonyesha kwani hujihisi kana
kwamba hawajakamilika na kuitwa mwanamke nando hapo wengi hujiingiza kwenye
utumiaji wa madawa kiholela na kukosa utulivu wa kutafuta suluhisho sahihi
kwake na la kumsaidia
SULUHISHO LA VIRUTUBISHO LINALOPENDWA NA WATU
WENGI………
Kuanzia
mwanzo jinsi mwili unaumbwa haujatengenezwa kwa ajili ya matumizi ya dawa ili
kuujenga uwe na afya njema, bali kwa kupata lishe ili kuzirisha seli na hizo
seli zinaupa mwili nguvu na ubora, hapa ndo tutaona umuhimu wa kutumia
virutubisho kwa ajili ya kujenga mwili kuanzia dani na nje.
i.
Kama mwanamke anauzito
mkubwa zitamsaidia kwanza kupunguza uzito/au kilo
ili ziwe sawa na jinsi zinavyopanswa awe
ii.
Zinasaidi kuondoa takamwili mwilini na
kuboresha uwezo wa kutokupata choo
iii.
Zinasaidi kuupa mwili kiwango kikubwa cha madini ya protein na calcium
iv.
Zinasaidi kuboresha mfuko wa uzazi ili
kuuboresha uimarike mishipa na uwezo wa kusambaza damu
kwa mtoto na mimba kuharibika ovyo ovyo
v.
Zinasaidia kuondoa nyama uzembe na kubalansi
uzito kama kabla haujabeba ujauzito
vi.
Zinasaidiakuupa mwili madini aina ya folic acid ambazo
hufanya za uumbaji wa mtoto kuzaliwa bila madhara yoyote ya viungo n.k
Hivyo
unaweza kuwasiliana na kampuni moja kwa moja ili kupata elimu ya afya ya uzazi kwa
upana Zaidi na virutubisho kwa namba…………
+255752304044 whatsapp or call




0 Comentarios