JINSI YA KUZUIA UTI SUGU ISIJIRUDIE MARA KWA MARA


U.T.I SUGU
UTI ni ugonjwa unaosumbua watu kwa asilimia kubwa na wengine hufikia hadi sehemu ya kuwa na U.T.I sugu. Tuone changamoto zipi mtu mwenye UTI anazipitia kwenye hali yake hasa kwa wanawake
                                                      MADHARA YA U.T.I
·         Kumfanya kutokujiamini hasa kwenye sehemu yake nyeti maalum na wanayoidhamini (uke) hasa pale anapokutana na mwenza wake kimwili au kwenye tendo la ndoa.
·         Hii hali inaweza ikampelekea kuwa mgumba kwa sababu huwa zinawasababisha kumchanganya kwenye siku zake za hedhi au kutokuonekana kabisa.
·         Humfanya ajikune kwa sana na humpelekea michubuko sehemu zake za siri na kumsababishia maumivu makali wakati wat endo la ndoa.
·         Kumfanya akose hamu ya tendo la ndoa kabisa na kuchukia mausiano yake.
  • Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa
  • Kujiskia hali ya kuchomachoma kwenye kibofu wakati wa kukojoa
  • Kujiskia kukojoa mara kwa mara, na kupata mkojo mdogo sana
  • Maumivu ya misuli
  • Maumivu ya tumbo la chini
  • Mkojo unaonuka zaidi
  • kuishiwa uwezo wa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa
  • Maumivu ya nyonga kwa wanawake
  • Wakati mwingine kushindwa kujizuia mkojo kutoka
                   JINSI YA KUJIKINGA NA KUUGUAUGUA MARA KWA MARA KWA UTI.
Asilimia kubwa ugonjwa huu wa UTI wanawake wengi hujisabashia wao wenyewe bila kujijua kuwa chanzo kikuu ni wao tukiiweka pembeni iliyozoeleka ya kushiriki choo cha watu wengi(public toilet)  lakini pia ugonjwa huu siyo kwa wanawake tu bali unaweza kumpata hata mwanaume ukimpata mwanaume huwa unasumbua sana kuwa vizuri japo kuupata mwanaume ni vigumu kama ilivyo vigumu kuupata hata kutoka huwa unasumbua pia.
      Ebu ngoja tuyaone haya : 

Hakikisha unakunywa maji ya kutosha: maji haya husaidia kuflash bacteria wabaya kabla hawajaleta athari
Neda haja ndogo mara kwa mara. Unapopata haja ya kukojoa basi usisubiri neda katoe mkojo mara moja, na pia ni muhimu kukojoa baada ya kufanya ngono ili kuwasafisha wale bacteria walioingia kwenye njia ya mkojo.
Kwa mwanamke jipanguse kuanzia mbele kwenda nyuma hasahasa baada ya kwenda haja kubwa, hii ni kuhakikisha bacteria hawaingii kwenye njia ya mkojo na hapa ndo watu wengi wanashindwa kuzingatia kisa mazoea.
Vaa nguo kubwa zisizobana: uvaaji wa nguo pana zisizobana hasa za ndani husaidia hewa kuzunguka na kukausha njia ya mkojo na hivo kuzuia kukua na kumea kwa bacteria.
kama tayari wewe ni mwasilika tumia Kitunguu swaumu angalau kilo moja kwa siku kwa kutafuna au{ kukata kipate cha kitunguu swaumu na kuweka sehemu za sili kwa dani lakini uwe makini isizame jumla}: kitunguu swaumu kina tabia ya kuua bacteria, matumizi ya kitunguu saumu mara kwa mara ni moja ya tiba asili ambayo unaweza kutumia ukiwa nyumbani japo unatakiwa kutumia kiwango kikubwa  mpaka kupona japo tiba hii inawafaa wanawake siyo wanaume.



SULUHISHO LA KUWEZA KUONDOA UTI SUGU KWA WALIO CHOKA NA KUHAGAISHWA NA TATIZO HILI.
Tumeweza kuerisha Zaidi njia za kujiepusha na njia zingine ambazo ukizitumia unaweza kuepukana na UTI sugu japo kwa asilimia ndogo lakini uzuri tayari watafiti wa afya wakaweza kungudua virutubisho vyenye ubora na uandaaji wa kiwango sahihi na matumizi ya kibinadamu  ebu tuone faida za hizi virutubisho
 Tumia virutubisho kwa ajili ya kuimarisha kinga ya mwili. Watafiti wanasema uwepo wa bacteria wazuri (normal flora na kinga imara ya mwili husaidia kuepusha maambukizi ya UTI.
·      ➽   Hapo juu tumeogelea habari ya kitunguu saumu lakini uzuri wa kampuni hii yenyewe imekuandalia bidhaa yenye kiwango cha juu ambayo kilo moja ya vitunguu saumu ni sawa na kidonge kimoja chenye 1000g inasaidia kuondoa bacteria na kuwaua wadudu wa UTI
·         Kuna bidhaa ambayo itakusaidia kuimarisha mfumo wa mkojo kuanzia kwenye kibofuna  ~kukupa ulizi au kinga mwili pamoja na kukusaidia kuondoa sumu mwilini ,tatizo la kukosa choo na kuondoa hali ya weupe weupe kwenye uke.
·         Pia kuna bidhaa ambayo utaitumia kupaka sehemu za sili na kukupa uwezo wa kukukinga usipate maambuki ya UTI hata pale ukikutana na mwanaume kimwili alien a uti tayari na kukupa kinga ya kutokuambukizwa hata mkichangia choo wewe wadudu hawakusongelei au kukudhuru.
v  ~  vinasaidia kuondoa sumu mwilini na kuweka sawa mzunguko mzima wa damu kwenye mwili
      ~ kwa wanaume inasaidia kurudisha uwezo wa nguvu za kiume pamoja na hamu ya tendo la ndoa
     zinaimarisha mifupa kwenye joints na kuondoa uchovu wa mwili wa mara kwa mara ambao usio na sababu
·       ~ Vinakusaidia kukupa antioxidant asili isiyo na kemikali mbaya kwa mwili wa binadamu
·         tunashauri utumie virutubisho ambavyo tayari vimetengenezwa katika mfumo wa vidonge maaana vina kiwango kikubwa cha dawa ndani yake

kwa ushauri na elimu Zaidi au upataji wa hivyo virutubisho tunaweza wasiliana kwa namba
+255752304044 whatsapp or call
+255716211801 call only


0 Comentarios