Unapoamua kwenda kununua gari kwa ajili
ya matumizi mbalimbali hivyo kila mtu huangalia kuwa anataka gari la aina gani
kuanzia rangi anayoipenda mnunuaji ndo aweze kufanya maamuzi ya kuweza
kulichukua hilo gari au la, lakini pia ukumbuke kuwa hata hilo gari huwa
limeundwa kwa vitu mbalimbali hadi kuja kuingia barabarani kufanya shughuri
linakuwa na vitu kama boti , system za umeme hadi kuwasha taa zinafanya kazi
(indicator) ila vyote hivyo ili vifanye kazi huwa vinasaidiwa na kitu muhimu
Zaidi ambacho kila mnunuaji anatakiwa akijue ufanyaji wa kazi na ubora wake
hicho kitu ambacho kinaitwa injini (engine) na
hapa ndo wamiliki wengi wa magari huwa wanaangalia mara kwa mara ili
kuhakikisha gari linafanya kazi vizuri na ndio maana hufikia wakati wa
kulipeleka gari likamwagwe oil kila mwezi na kwenda kuangaliwa kama liko sawa
sawa kwenye injini, ila ni mara chache kumkuta mtu kapeleka gari garage kutengenezwa taa wakati ikiwa inawaka au
kufunguliwa tu hiyo taa na huku haina hata dalili za kuzimika zimika.
Kutokana
na mfumo wa maisha tunayoishi sasa ugonjwa wa moyo umekuwa ni chanzo kikubwa
cha vifo duniani Hivyo Ili mwili ufanye
kazi kwa ubora ni lazima kiungo mojawapo mhimu kifanye kazi vizuri na hicho
kiungo ni MOYO, moyo ndo injini ya mwili usipofanya
kazi vizuri kwa jinsi inavyotakiwa husababisha madhara mbalimbali
Moyo kupanuka,
kupanuka kwa moyo husababishwa na vitu vingi lakini mojawapo ni kushindwa
kusukuma damu vizuri kwenye mwili hasa pale inaposongwa na mafuta mabaya
(cholesterol)
Moyo kuwa na tundu, hili
ni tatizo nalo linaloua watu wengi sana dunia maana moyo unapokuwa na tundu
hufanya mwili usipate damu ya kutosha itakapotokea haifiki damu kwenye ubongo
hasa kwa dakika tatu mtu anaweza kupoteza uhai.
Ili
kujua kuwa moyo ni injini ya mwili iliyo imara fatilia madhara haya mengine
yanayotokea baada tu ya moyo kushindwa kufanya kazi vizuri.
·
Kuishiwa nguvu za kiume. Hii
baada ya kushidwa kupeleka damu ya kutosha kwenye baadhi ya sehemu za mwili au
kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye mwili na kuanza kuishiwa nguvu baadhi
ya viungo kwenye mwili ikiwemo na hili janga kwa wanaume wengi la kuishiwa
uwezo watendo wa ndoa.
·
Kiharusi (stroke).
hili ni tatizo linalotokea kichwani baada ya kushindwa kwa mishipa ya kichwani
kuhimili ujanzo wa damu unaotoka kwenye moyo na kupelekea kupasuka na damu
kumwangika kwenye ubongo huyu mtu ndo hupelekea tatizola kupoteza kumbukumbu.
·
Kukondeana na mwili kuishiwa nguvu kwa
ujumla.n.k
·
Maumivu ya kichwa na uchomvu wa mara kwa mara
·
Upotevu wa kumbukumbu.
Kwa
mjibu wa shirika la afya duniani (WHO) magonjwa
yasiyoambukizwa kama yalivyo magonjwa ya moyo kila mwaka huua watu million 38
duniani. Vifo vingi kati ya hivyo hutokana na magonjwa ya moyo. Inakadiriwa
kwamba watu takribani million 17.5 hufariki dunia kutokama na magonjwa ya moyo.
LAKINI KUNA TUMAINI
Mlinzi
wa viungo vyako ni wewe mwenyewe hivyo kuna program’s ambazo zimeadaliwa kwa
ubora wa juu kuhakikisha mwili na moyo vinafanya kazi kwa kiwango sawa na hiyo
program inasaidaia mambo mengi mwilini;
![]() |
a. Inasaidia kuondoa sumu mwilini kama vile unavyomwaga oil
chafu kwenye injini ya gari inakufanyia usafi Zaidi (cleansing/
detoxifications)
b.
Inasadia kuondoa mafuta mabaya kwenye moyo na kwenye mishipa
c. Inakuzarishia seli Zaidi kwenye mwili ili kiwango cha damu
kiwe sawa.
d.
Inasaidia kuondoa tatizo la kutokupata choo ( constipations)
e. Inasadia kukupa mzunguko mzuri wa damu ili kukuepusha na
tatizo kupasuka kwa mishipa kichwani, kiharusi ( stroke).
f. Inasaidia kukupa uwezo mzuri Zaidi wa tendo la ndoa
g. Inasaidia kukupa kinga mwili
ili usishambuliwe ma maradhi
·
Hivyo basi kwa elimu na jinsi ya kuipata hiyo
program ya afya unaweza kuwasiliana na kampuni moja kwa moja mawasiliano namba.
+255752304044 whatssap /call





0 Comentarios