FIBROIDS ZINAEPUKIKA HATA BILA UPASUAJI


Janga la wanawake duniani, tunapoteza wanawake wengi kila kukicha kwa tatizo hili la fibroids hii ni kutokana tu na kutokuwa na uwezo wa kujua nini afanye kabla hajapatwa na hii changamoto na hata pale anapokuwa amesadikika kuwa tayari ana vimbe vya uzazi wengi wao hukosa nini chakufanya hivyo ni muhimu Zaidi kujua kwa udani elimu ya fibroids ili hata badae uweze kutoa faraja kwa wanaokuzunguka, kwani inakadiriwa kwamba asilimia kati ya 20_50% ya wanawake wana hili tatizo au watakuwa na hili tatizo katika kipindi Fulani cha maisha yao, fibroids inapatikana Zaidi kwa wanawake wenye kati ya miaka 30_40 na hupungua ukubwa mara baada ya umri wa utu uzima.
NINI MAANA YA VIMBE ZA KIZAZI (FIBROIDS)

Hii ni ile hali ya kuwa na uvimbe kwenye moja ya kiungo muhimu cha uzazi kwa mwanamke na hujulikana kama fibroids.Vimbe hizi zaweka kutokea moja au Zaidi ya moja kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke yawezekana ndani ya mfuko wa uzazi(uterus)au nje ya mfuko huo wakati mwingine zinaweza kuwa nje ya ukuta wa mfuko wa kizazi au hata pia kwenye njia za mirija ya uzazi(faropian tube) Na imekuwa jambo lakawaida sana mwanamke kupatwa na hizi vimbe ingawa ni hatari sana kiafya kama mwanamke anakuwa nazo na hakuna chanzo cha moja kwa moja cha kuonyesha kwamba kwanini mtu anapata hizi vimbe lakini yako mambo ambayo yanahatarisha na kuweza kuchangia kwa kiasi kikubwa kupata vimbe hizi za kizazi.Ungana nami
VYANZO VYA KUPATA VIMBE ZA KIZAZI
Wanawake wengi ambao wanapata hii changamoto ya vimbe kwenye kizazi imezoeleka kama fibroids kuona labda wana bahati mbaya au miili yao hawakuandaliwa kuja kupata watoto au kuwa na uzazi uliokuwa bora,na kusahau kumbe kuna maisha wanayaishi ambayo ndio hupelekea wao kupata hizi vimbe nayo ni kama ifwatavyo;
ü  Uzito uliopitiliza hii imekuwa changamoto kubwa kwa kina dada au wanawake wengi kuongezeka uzito kupita kiasi na kushindwa kuupunguza au kubalance nahii ni kutokana na kukosa njia sahihi ya kupunguza huo uzito lakini wako baadhi hufikili kuwa ni afya hiyo,mwisho hupelekea mafuta mengi na baadhi ya tissue tumboni hasa kwenye uzazi kushindwa kufanya kazi inavyotakiwa na kuanza kutengeneza hizo vimbe,na kama ujuavyo unavyokuwa na uzito mkubwa pia mafuta mabaya ndani ya mwili lazima yatakuwepo na hivo kuperekea mishipa yako ya damu kushindwa kupitisha damu inavyotakiwa na vyakula unavyotumia ni kuku na chips.

ü  Matatizo ya hormone (hormone imbalance) Pia matatizo haya ya kuto kubalance kwa homoni yako kwa wanawake wengi tu kwasababu wanatumia dawa za uzazi wa mpango yabila kujua kumbe wanayumbisha swala la hormone,na hormone ambazo zinauhusiano mkubwa na hizi fibroids au kupata vimbe ni oestrogen pamoja na projestorone kwaiyo unapokuwa na tatizo hili la hormone basi kuna uwezekano mkubwa wakuja kupata vimbe hapo baadae.
ü  History ya kifamilia;imeonekana kuwa kama kwenye familia kama kulishawai kutokea mtu alipataga hili tatizo la kupata fibroids basi kuna uwezekano mkubwa pia kuja kupata hii changamoto ya fibroids kwaiyo ni muhimu sasa kama wewe tayari uko kwenye familia ya namna hiyo kuanza kujikinga na sababu nyingine tajwa hapo.
ü  Swala la ujauzito mwanamke anapokuwa na ujauzito kuna baadhi ya hormone hujidharisha kwa kasi sana sasa kama mwili wako hauko balancing kwa hizo hormone ndio kunawatu utasikia kuna mimba ilitoka kwasababu ya vimbe.Sasa hivyo vyote hapo juu ndio vitu kama hautokuwa makini navyo basi kunauwezekano mkubwa wakuja kupata hii changamoto ya vimbe za kizazi sasa unapaswa kutambua wazi kuwa unapopata hizi vimbe basi kuna madhara makubwa kiafya kwa mwanamke ambapo kimsingi ni hatari kiafya,hivyo kwa pamoja ungana nami uweze kuona nini hasa hutokea pale mwanamke anapokuwa na hizi vimbe; kabla ya kujua madhara ni muhimu sasa kuweza kujua dalili hasa za fibroids mtu ukiwa nazo uweze kuchukuwa hatuwa

DALILI ZA VIMBE KWENYE KIZAZI
Mara nyingi vimbe hizi za kizazi huwa za aina tofauti tofauti kulingana na saizi ya ukubwa wa vimbe yenyewe lakini pia eneo la hiyo vimbe inapoweza kutokea ndio baadhi ya vimbe nyingine ni fibroids lakini huwa hazina dalili sasa leo hapa ungana name uweze kuona ni kwanamna gani utajuwa kuwa uko na dalili za mwanzo za kupata fibroids;
·         Maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu hapa mwanamke huwa anamaumivu makali ya tumbo ambayo anakuwa anahisi kama kuna kitu anakishika chini ya kitovu ambao unakuwa ni uvimbe lakini wakati mwingine wakati uvimbe unakuwa bado mdogo yanakuwa ni maumivu tu makali sana kama yale yanayofanana na hedhi ingawa hutakiwi kupata maumivu ya hedhi hiyo maana yake hormorne zako haziko vizuri.

·         Kutokwa na damu nyingi sana kama uko na hili tatizo la vimbe kwenye kizazi waweza kukuta unaanza kutokwa na damu isiyo ya kawaida ambayo hukuwai pengine kutokewa na hali kama hiyo hivo unapaswa kuchukua hatua za haraka ili kuweza kudhibiti tatizo hilo.
·         Kushindwa ku control mkojo
·         Maumivu makali ya mgongo.
·     Maumivu wakati watendo la ndoa , Kuskia tumbo limejaa
MADHARA YA KUWA NA VIMBE ZA KIZAZI
Wako watu huwa wanajiuliza na kukosa jibu sahihi kuwa je fibroids huwa zinasababisha utasa nikiwa na maana kwamba mwanamke kutokuwa na uwezo wa kuzaa jibu ni siyo kweli .Vimbe za kizazi hazisababishi utasa ila zinaweza zikakufanya ujione huna uwezo wa kuzaa kulingana tu na madhara utakayokuwa unayaona ya kimwili hasa hasa katika mfumo huu wa uzazi.Lakini vimbe hizi huweza kusababisha infection kwenye viungo vyako vya uzazi kwasababu ya kutokwa na damu kwa muda mrefu lakini kuperekea hormone zako kutokuwa sawasawa na kuendelea kupata maumivu ya hedhi kila mwezi.Sasa changamoto kubwa ambayo kina mama wengi hupitia ni kufanyiwa upasuaji wa kujirudia rudia kila wakati kwasababu watu wengu hufikili labda njia sahihi ya kudhibiti fibroids ni upasuaji lakini jibu ni hapana,sasaziko njia na suluisho la kweli kuweza kudhibiti tatizo hili la fibroids.Kwapamoja tuweze kumalizia kwakuona jinsi gani unaweza kutatua nakudhibiti tatizo hili la fibroids kwa wanawake wengi kwenye hii jamii yetu ya kila siku.
TUMAINI AU SULUHISHO KUHUSU FIBROIDS
Nia yetu ni nzuri kuakikisha watu wanaondokana na haya matatizo yanayo sumbua kina mama hasa katika maswala ya uzazi njia sahihi ya kutokomeza matatizo haya ya kizazi hasa kwa wanawake ni kuakikisha hizi vimbe zina shrink au kudhibiti kutoka kwenye source nasio kuzikata juu juu ndio maana huwa zinajirudia baada ya wengi kufanyiwa upasuaji,iko program muhimu tumekuandalieni kwajili ya kuhakikisha afya ya mwanamke inakaa sawa sawa kwa kulingana na matatizo tajwa hapo juu.Sasa unapochukua jukumu lakutumia hii program yetu unapata manufaa yafuatayo;kumbuka mwili haukuandaliwa kwa ajili ya madawa wala miti shamba bali lishe sahihi na virutubisho muhimu ili mwili uweze kujilinda wenyewe;
1.    Kuondoa sumu zote ndani ya mwili na kuimarisha mifumo yako ya mwili ili kufanya kazi ipasavyo katika hormone na mifumo yake Kuimarisha hormone zinazohusika na mfumo wa uzazi wa mwanamke
2.    Kudhibiti tatizo la uzito mkubwa
3.    Kuboresha afya ya uzazi ya mwanamke
4.    Kuondoa mafuta mabaya mwilini ili kuruhusu damu ipite sawasawa kwenye mishipa yako ya mwili
5.    Kudhibiti matatizo yote ya mzunguko wako wa hedhi
Kama nilivyokwisha sema afya nyema hujengwa na ulaji mzuri wa vyakula hivyo programu hii inaohuo uwezo wa kuimarisha afya yako na kudhibiti hizi vimbe kwenye kizazi kwasababu inavirutubisho muhimu ambavyo vingefaa kutumika kil siku kwenye maisha yako.Sasa kwa yeyote atakae itaji huduma hii wasiliana nasi kwa namba
+255752304044 call /whatssap
+255716211801 call only

0 Comentarios