ELIMU YA
NGUVU ZA KIUME.
Nimekuwa
nikikutana na maswali pamoja na malalamiko mengi katika pande za jinsia mbili
tofauti yaani kwa wanawake wakitoa malalamiko juu ya wapenzi wao kuishiwa au
kupungukiwa kwa uwezo wa tendo la ndoa, na
wanaume kusema kuwa sina furaha kabisa na tendo na muda mwingine hupelekea
kushidwa kabisa kushiriki tendo la ndoa na mojawapo husema huu ugonjwa
umenitesa siku nyingi sana, sasa leo niweke wazi huenda watu wataelewa vizuri
kwa kifupi kuishiwa/kupungukiwa nguvu za kiume siyo ugonjwa bali huwa kuna
viababishi vinavyopelekea kuishiwa kwa nguvu za kiume
Maumbile
ya uume yameundwa kwa vitu mbalimbali kama
vile misuli, mishipa n.k na maumbile ya uume hayana tofauti na mashine jinsi
zilivyoundwa kwa mitambo mbalimbali ambapo mtambo mmojawapo ukishindwa kufanya
kazi vizuri kwenye mashine au kiwanda kinashindwa kuzarisha bidhaa mbalimbali
na kupelekea kutokuendelea kwa shughuri nzima, Katika upande wa nguvu za kiume
ni vitu gani vinavyopelekea kuishiwa/kupungua kwa uwezo wa tendo la ndoa.
VISABABISHI VINAVYOPELEKEA KUISHIWA KWA UWEZO WA
TENDO LA NDOA.
Hapa
yakupasa uwe mfutiliaji mzuri wa afya yako ili uweze kupata suruhisho vizuri
juu ya afya ya mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume na usianze kulalamika kwa mtu
mwingine kumbe chanzo kikubwa ni wewe.
·
Kupiga punyeto/kujichua (masturbartion). Hiki kimekuwa kilio kwa vijana
wengi na watu wazima wengine kwani na wao wamepitia katika hatua ya ujana na
kufanya kitendo kama hiki, kitendo hiki mtu hufanya yeye binafisi ili kujipa raha
mwenyewe kumbe ndo anajimaliza
·
Maradhi mbalimbali kama vile presha, kisukari, kupalaz,vidonda vya tumbo na
bahati nzuri yote hayo madhara nimeelezea kwenye nakala zilizopita kuwa
zinachangiaje kuadhiri nguvu za kiume.
·
Kuangalia video au picha za ngono. Changamoto hii
inawakumba watu wengi kwa wanawake na wanaume kujikuta wako waadhirika wa
kuangalia picha za utupu na wao wenyewe bila kujua kua zinaadhiri uwezo wa
kihisia kifikra na ndo maana unaweza ukakutana na mwanamke ukawa unashindwa
hata kusisimka mwili wako kuwa uko na mpenzi wako.
·
Kutokufanya mazoezi. Hili
nimekuwa nikilizungumzia sana karibia kila nakala yangu kuwa kufanya mazoezi na
unywaji wa maji mengi ni muhimu Zaidi kwani husaidi mzunguko mzuri wa damu na
homoni kuwa mzuri Zaidi na upande wa uume unahitaji uwe na ujazo mzuri wa damu.
·
Uzito mkubwa.
Mwanaume mwenye uzito mkubwa au mwenye kitambi asilimia kubwa huwa na tatizo la
upungufu wa uwezo wa tendo la ndoa kwani hukosa balansi ya kujihimili vizuri
katika tendo na wengi wao huwa watu wa kusizia sinzia tu kwa sababu hewa
haipiti vizuri kwenye mwili au mishipa
·
Msongo mkubwa wa mawazo
·
Kutokupumzika vya kutosha au kutokulala angalau
masaa 8
·
Uwekaji wa simu
mfuko kwa muda mrefu Zaidi ya masaa 4
·
Tumbo kujaa gesi au kutokupata choo kuligana na
idadi ya jinsi unavyokula
·
Tezi dume kupata kansa au
kutanuka
·
Umri mkubwa kuanzia miaka 40+ hii nayo
nimeilezea kwa kina jinsi inavyosumbua watu wengi wenye umri huu
·
N.k
UTAJUAJE KUWA NGUVU ZAKO ZINAPUNGUA
Hizi
ni mojawapo ya vionyeshi vya kuwa unatatizo la nguvu za kiume
i.
Kuwahi kufika kileleni
ii.
Kushindwa kurudia tendo na kuchukua muda mrefu
iii.
Kukosa hamu ya tendo la ndoa
iv.
Kuchoka sana baada yay a tendo tu na
kichefuchefu
v.
Uume kisimama kwa uregevu
vi.
Kuchelewa sana kufika kileleni
vii.
Kukosa pumzina uchangamfu wa
mwili katika tendo
viii.
Kuhisi maumivu baada ya tendo la ndoa au wakati
wa tendo
KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI
Kama ilivyo desturi kwa wanaume wengi kuwa anapokuwa na tatizo
hawezi kumwambia mtu wake au mwenzi wake au hata kumwambia rafiki yake wa
karibu na kujindai kuwa yeye ni wa kiume anahagaika kiume baadae wengi wao
hukimbilia kumeza madawa ya kusisimua mwili
ambazo siyo nzuri kabisa kutumia kwa huwa zinakusanya nguvu hata zile ulizokuwa
unapanswa uzitumie baada ya miaka 4 unajikuta umezitumia kwa siku moja na
kadiri unavyoendelea uwezo wako hushuka kila kukicha na mwisho wake kushindwa
kabisa na mara nyingi sasa ikifika wakati kama huu utawasikia kwa wake zao
wanasema tuko bize siku hizi na kazi za kiofisi kube
wako kwenye bar wanakunywa pombe ili muda
uende wakute wake zao wamelala wasiwasumbue.
TUMAINI LA KURUDISHA UWEZO NA FURAHA YA FAMILIA KATIKA TENDO UPO.
Kumbuka kuwa jambo la
faragha linafaida nyingi sana katika afya ya kwa pande zote kwa mwanaume na
mwanamke baadi ya faida za kuridhishana katika tendo ni
_ kupunguza msongo wa
mawazo
_ kwa mwanamke humfanya
awe na sauti nyororo na ngozi nzuri yenye mvuto lakini asizindishe kiwango
_kuongeza kwa uwezo wa
kufikiria
_kwa mwanaume humpa
afya nzuri ya tezi ndume n.k
Sasa kampuni
imetuamdalia program ya bidhaa na zikadhibitishwa kuwa ndio tumaini lenye
kuleta faragha katika familia faida yah ii program ni
·
Inakupa uwezo wa kuimarisha misuli mzunguko wa
damu vizuri kwenye uume
·
Inakushusha msongo wa mawazo
·
Inakupa uwezo kusimamisha uume pale unapohitaji
tendo siyo kuboost tena
·
Inasaidia kuondoa mafuta mabaya mwili n.k
Unaweza kuwasiliana ili
upate elimu Zaidi na kwa upana
+255752304044 whatssap/ cally





1 Comentarios
Good
ReplyDelete