HEWA CHAFU/HARUFU KUTOKA UKENI


HEWA CHAFU KUTOKA UKENI
  Hili ni tatizo linalowakumba WANAWAKE wengi sana tena sanaa na wanashindwa wafanye nini kulitatua na pia wengi wao hawajuwi ni kitu gani kinasababisha hali hiyo. Na tatizo hili zaidi hutokea mnapokuwa mnafanya mapenzi hasa ile style maarufu mbuzi kagoma kwenda🐐 sababu mwanamke anakuwa ameinamisha kichwa chini kiuno juu hivyo huruhusu hewa hiyo kutokea ukeni na hewa hiyo inaweza ikatokea sehemu nyingi mbalimbali kuanzia sehemu za mfumo wa uzazi na mmeng’enyo mzima wa chakula
Hali hii inakosesha raha na kutojiamini kabisaa na sanyingine hukufanya usitake kuwa na mwenzio na hali kama hii watu wengi wamekimbiwa kwenye mahusiano na hata kwenye ndoa kwani hamna mwanaume anapenda akutane na mwanamke anaetoa harufu ukeni na mara nyingi huwa hawatamani kurugi kwako ten ahata uwe mzuri kiasi gani kwa sura.
Vilevile ni aibu haswa kwa wale walio katika ndoa wapya utatamani ardhi ipasuke utumbukie
Lakini hali hii tunaisababisha wenyewe mwali tena kwa uvivu wetu kwa vitu tunavyofanya wenyewe endelea kusoma nakala hii ili upate maarifa na suluhisho kama tayari unahiyo hali au hauko nayo isikupate maana ni vema uisikie kwa mwezako lakini isikutokee.
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAMBA UKENI NA TIBA YAKE
KUTOJUA KUJISAFISHA UKE
kwa wale wanawake wote wasiojua kujisafisha vizuri uke   tatizo hili lazima likupate
kwahali hiyo basi UKE inatakiwa  kuusafisha vizuri na kwa makini na inavyotakiwa pia hakikisha baada ya kuusafisha futa na kitaulo maalum kwaajili ya kufutia sio kanga ulioshindia kwenye mavumbi unaenda kujifutia baada ya kuoga.
UTUMIAJI MAJI MOTO
ukiwa unapenda kusafishaa uke wako  kwa majimoto tatizo hili lazima likukumbe maana maji ya moto hulegeza uke na kuufanya uwe unatoa hewa chafu wakati wa kufanya tendo la ndoa  hata baada ya kufanya Uke inatakiwa usafishe kwa maji baridi ni mazuri na yanasaidia kubana misuli ya uke  pamoja na kuwalinda bacteria ambao ni walinzi wa uke kwa ujumla.
KULEGEA KWA MISULI YA UKE
Pia ikiwa imelegea inasababisha vijambo kwenye Uke kutokana na uke kuwa wazi na hamna mwanamke anaependa apate vijambo kwenye uke na akiwa na mwezake kwenye mazingira ya faragha
```ULALAJI NA SHAHAWA UKENI
Kwa wale wanawake wasiojisafisha ukeni baada ya kufanya tendo la ndoa  hali hii lazima itakukupa na pia wanawake  hamtakiwi  kulala na shahawa ndani ya uke unalegeza uke  na kupoteza joto la asili la uke , vilevile kulala na shahawa bila kunawa unasababisha uke  kutoa harufu mbaya
USAFI PINDI TUMALIZAPO TENDO LA NDOA
Unapomaliza kufanya jimai mfute mmeo na wewe ujifute, nendeni bafuni ikibidi muoge sio ukimaliza unageukia upande wa pili unakoroma shawaha kibao ukeni uke unapoa na kutepeta.
ukifika bafuni chuchumaa kwa muda kuruhusu shahawa zitoke kwa urahisi  jikamue kidogo ili shahawa zitoke vizuri
Kisha osha  uke kwa maji mengi usitumie sabuni osha na maji baridi  kwani maji moto yanarejesha uke ndugu zangu  ok kisha jifute vizuri kwa kitaulo safi uke ubaki  mkavu, ufanye nini kama hilo tatizo kama tayari ishakutokea na kila unapotafuta jinsi ya kulizuia inakuwa ni changamoto kupata suluhisho la uhakika endelea kusoma hili suluhisho chini ya nakala hii.
SULUHISHO KWA WALIO NA TATIZO LA KUTOKA KWA HARUFU MBAYA UKENI NA KUJAMBA UKE WAKATI WA TENDO
Naimani uko shauku ya kupata suluhisho nzuri kuondoa changamoto hii na tunakuhakikishia tu kuwa uhakika upo kwa kampuni tayari imeweza kuandaa program ambayo ukiitumia inawapa matokeo kama mazuri mno kama ifutavyo lakini kutuza sehemu za siri siyo lazima uwe na tatizo hilo bali unaambiwa kinga ni bora kuliko tiba hivyo na hii program ya bidhaa asili ni zuri kwa mtu yeyote alien a tatizo na asie na tatizo kazi zake ni
~ inasaidia kuua bacteria wabaya wanaosababisha uke kutoa harufu au hewa chafu na kuondoa majimaji ya rangi kama ya maziwa ukeni
~ inasaidia kuondoa sumu mwilini maana sumu mwilini zinapelekea kuathiri sehemu nyingi mwili na hata kutoa harufu mbaya mdomoni na ukeni
~ ukiitumia inasaidia kurudisha uharisia wa ukubwa wa uke na kuufanya kuwa finyu na kuzuia kutoa vijambo vijambo wakati wat endo la ndoa hata ukitumia style ya aina
~Inakusaidia kukupa ulizi wa kutokupata maambuki ya fangasi na UTI
~inasaidia kukurudisha joto murua haijarishi umri mkubwa au la
~inakuzarishia wadudu wazuri kwa ajili ya ulizi wa uke kuwa kwenye ubora wake n.k
Hivyo kwa ushauri na jinsya kuipata hii program au namna ya kutuza wasiliana moja kwa moja namba au njoo whatsapp upate elimu Zaidi
                                          +255752304044 call/whatsapp

1 Comentarios

  1. I would like to know why some women are very cold ie.their private part and body in general are not worm to stimulate sex process,what is reason of such isure?
    And what to do to overcome?

    ReplyDelete